Friday 23 September 2016

JK APEWA TUZO

HONGERA MH JAKAYA KIKWETE


Rais mstaafu Dk JM Kikwete ametunukiwa Tuzo  Maarufu ijulikanayo kama SPEAKUP AFRICA. Tuzo hii hutolewa kwa watu maarufu na mashuhuri ambao wamethibitika kutoa mchango katika bara la Afrika.

Miongoni mwa viongozi wa Afrika waliotunukiwa Tuzo hiyo ni pamoja na Waziri wa afya na masuala ya kijamii wa Senegal,  Prof Awa Mariel Coll-seck.

Hafla hii ya kuwatunuku Tuzo hiyo imefanyika 22 Sep  2016, katika ukumbi wa American Museum of Natural History, New York, nchini Marekani.

Hongera JK,  Hongera CCM,  Hongera Tanzania kwa kuendelea Kutambuliwa na Ulimwengu kwa Mchango wenu katika Jamii

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Magoiga SN-Mwanza
Mwenyekiti wa Muda-CCM Tawi la Mitandaoni

No comments:

Post a Comment