Monday 10 October 2016

TUMIA WAYA ZA MASTER CABLE KWA USALAMA WA JENGO LAKO

MASTER CABLE ni waya za umeme zenye kiwango na ubora wa hali ya juu uliotihibitishwa na TBS

Waya za MASTER CABLE zinatengenezwa nchini TANZANIA

Copper halisi yenye kiwango na ubora wa hali ya juu ndio inayotumika kutengeneza waya za MASTERCABLE

Ubora wa waya za MASTER CABLE umepimwa kwa kuzingatia viwango vyote vya ubora.

WAYA za MASTERCABLE zinapimwa katika uwezo wa kubeba mkondo wa umeme 3000VOLT ambapo umeme wa kawaida kwa matumizi ya kitanzania ni 250 volt .

Hiki ni kiwango bora kabisa cha kupima ubora wa WAYA DUNIANI katika kuhimili mkondo wa umeme hii inakuhakikishia kuwa hata kama umeme utazidi kwa ghafla hauna uwezo wa kuleta madhara ndani ya nyumba yako maana WAYA ZA MASTER CABLE zinauwezo mkubwa wa kuhimili mkondo wa umeme hata ule usio wa hali ya kawaida.

Tafadhali kwa USALAMA WA JENGO lako TUMIA WAYA ZA MASTER CABLE

Waya zetu ni

1.5 single

2.5 single

1.5 twin

2.5 twin

4 twin

6 twin

Waya za single kuna za red green na black

Plastic inayotumika kufunika waya yaani PVC kwa wale wasiofahamu ile ngozi ya juu ya waya ina ubora wa hali ya juu ambayo ina uwezo wa kuhimili joto kubwa sana bila kupata madhara.

PVC hujaribiwa kupitia kifaa maalum ambapo waya huingizwa katika kifaa hicho kikiwa na maji ya moto yenye nyuzi joto 70 na kupewa volt ya umeme 3000 kwa kuzingatia joto la maji na joto la mkondo wa umeme ndipo uimara wa PVC huthibitika. Hapa tunapima uwezo wa PVC kuhimili joto na kutokulainika .

Kwa kuzingatia haya ndipo tunathubutu kusema WAYA ZETU NI BORA NA ZINA KIWANGO KILICHOTHIBITISHWA NA TBS waya zetu ije jua ije mvua haziwezi kuleta madhara katika NYUMBA yako.

MASTER CABLE

"We are the master of cables in Tanzania"

Waya zetu zinapatikana katika maduka yote yenye vifaa vya umeme kariakoo DSM

Usinunue waya nunua MASTER CABLE

Bei za waya zetu utazipata madukani maduka ya jumla na rejareja kwa sasa waya zipo MADUKA YOTE KARIAKOO DSM na ARUSHA .

Kwanini uhatarishe usalama wa NYUMBA yako kwa kutumia waya zisizobora?

Waya zetu zote zipo katika ujazo wa 100m kwanini ununue waya pungufu wakati waya bora zipo?

Waya zetu za twin zina poda inayoimarisha na kuupa waya wetu kiwango cha kimataifa zaidi.

Usihangaike na bidhaa fake nunua waya wenye ubora.







BEI ZA WAYA ZETU NI KWASABABU YA UBORA WETU

Wakati ni huu sasa TUMIA MASTERCABLE KWA USALAMA WA JENGO LAKO

Wakati ni huu

TUMIA MASTERCABLE KWA USALAMA WA JENGO LAKO

7 comments: